KILI FAIR 2024,TAWIRI TUPO

Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) ni Miongoni mwa Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii zinazoshiriki maonesho ya Karibu KILI FAIR 2024 yanayoendelea katika viwanja vya Kisongo Mkoani Arusha.

Karibu KILI FAIR 2024, TAWIRI tupo tayari kukutumia tembelea banda la Maliasili na Utalii

Visitors

027281
Users Today : 20
Users Last 7 days : 501
Users This Month : 1207
Total Users : 27281

Office Location

Contact Us