BUNGE LAIPITISHA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Juni 3,2024 limepitisha jumla ya shilingi 348,125,419,000 (bilioni mia tatu arobaini na nane milioni mia moja ishirini na tano laki nne na elfu kumi na tisa) ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Visitors

038590
Users Today : 21
Users Last 7 days : 524
Users This Month : 2027
Total Users : 38590

Office Location

Contact Us