BUNGE LAIPITISHA BAJETI YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Juni 3,2024 limepitisha jumla ya shilingi 348,125,419,000 (bilioni mia tatu arobaini na nane milioni mia moja ishirini na tano laki nne na elfu kumi na tisa) ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Visitors

036108
Users Today : 16
Users Last 7 days : 459
Users This Month : 1510
Total Users : 36108

Office Location

Contact Us